Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Sasa ni sawa na yako thalatha bin sufuriiView attachment 2824895
Wakapaka mpaka blich lakini wapiiii… 😀 kamsumbua kinyozi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ni sawa na yako thalatha bin sufuriiView attachment 2824895
Wakapaka mpaka blich lakini wapiiii… 😀 kamsumbua kinyozi tu
Timu nyingi hazijui kutumia mipira ya kona.Wachezaji walitakiwa watawanyike kwa urefu na mapana ili mpira wa kona popote utakapodondoka ukute mchezaji ila wao wanajilundika wote golini kitu ambacho sio sawa kwasababu mpira ukivuka upande wa pili au ukiokolewa unakosa wakuurudisha kwahiyo mipira mingi inapotea.Yani Chama anacheza kam Hataki mara kona hii kajibutulia tu kwani shida nin au hajalipwa mshahara ?
😆😆😆😆😆Siji tena uwanjani
Kuna vitu vilifukuliwa chiniKuna mtu alisema baada ya marekebisho ya uwanja wa mkapa inaweza kua kilio kwa Simba. Alimaanisha nini sijui...
Nawashangaa Hawa makocha halafu pumbavu kabisa mashabiki wanaowapa vichwa.Hakuna Timu hapa tunalaumu makocha bure tu huyu Saido na Mzamiru + mabeki wa pembeni wote ni Takataka tupu
Pale kati Simba kwa sasa kuna tatizo bila kujali ni la nani. kiungo mkabaji na kiungo mshambuliaji ni kama hawapo.Sikatai ndugu. Ninachopinga ni shabiki kusema eti Kwakuwa fulani hakucheza.
Ngoma kapaka breach akajua ndo atacheza kama pacome[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2824895
Wakapaka mpaka blich lakini wapiiii… [emoji3] kamsumbua kinyozi tu
Hahahaaa!Mligeuzwa kila mkao kotekote.[emoji23][emoji23][emoji23]Tuliza kibwambwa.
Kivipi kaka
Naunga mkono hoja 👍👏Ngoma kapaka breach akajua ndo atacheza kama pacome[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji1][emoji28][emoji38]View attachment 2824895
Wakapaka mpaka blich lakini wapiiii… [emoji3] kamsumbua kinyozi tu
Mweee.... Anajiita Simba kumbe .... [emoji23]Ngoma kapaka breach akajua ndo atacheza kama pacome[emoji16][emoji16][emoji16]
Mie nilikuwa ugenini mtani sio nyumbani kama wewe leo mmetoka suluhu pole sana mtani wangu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa ni sawa na yako thalatha bin sufurii