Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
🤣🤣🤣We Shadeeya umepigaje hapo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣We Shadeeya umepigaje hapo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Maamuzi magumu ya kujilipua haswa.Maamuzi magumu yanahitajika bila kuangalia mtu usoni au shabiki atasemaje.
Timu inabidi isukwe upya hii. Hawa wa sasa wamechoka sana. Quality imeshuka mno imebaki uzoefu na 'Undewa'
Alijua atakuwa kama PacomeView attachment 2824895
Wakapaka mpaka blich lakini wapiiii… 😀 kamsumbua kinyozi tu
Wenzio tulishaamua kitamboSiji tena uwanjani
Naunga mkono hojaAlijua atakuwa kama Pacome
Hii papatu papatu itafukuzisha kocha mwingine.Jana alikula chuma 3. Kimya leo yalivyo hayana Akili et yanashangilia Draw.
Hawa simba au ng-ruweeeeMweee.... Anajiita Simba kumbe .... [emoji23]View attachment 2824906
Ifike hatua mseme ukweli ndo maana leo kuna baadhi yenu waligoma uwanjani kwa sababu hamsemi ukweli timu ikicheza hovyo mnasema imecheza vizuriJana alikula chuma 3. Kimya leo yalivyo hayana Akili et yanashangilia Draw.
🤣🤣🤣🤣 Mkuu nimecheka sanaKuna mtu alisema baada ya marekebisho ya uwanja wa mkapa inaweza kua kilio kwa Simba. Alimaanisha nini sijui...
Kwamba nyie m'cheza na timu ya viwango vya Al Ahly?We unategemea utashinda kwa Al Ahly?
Kwamba nyie m'cheza na timu ya viwango vya Al Ahly?
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Tutawafunga kwao hawama maajabuMimi naongolea matokeo ya leo sio vitu vya mbele
Habari ya mjini ni kwamba mmedroo nyumbani na ASEC [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wote wamekula tano tanoUkiondo mishahara, Simba haina tofauti na mtibwa sukari.
5imba watamuwahi huyoHuyu Sankara Karamoko ni hatari. Niliwahi kusikia anahusishwa na Yanga
Simba wachezaji wengi ni wazuri, tatizo limekuwa la walimu. Kwa mfano leo, hakukuwa na muunganiko wa timu!! Hii imemfanya Inonga asipande kabisa kusaidia mashambulizi. Kilichokuwa kinatakiwa leo ni kutopoteza mchezo, tuki-buy time kabla kocha hajaanza mpya hajaanza kuisuka timu!! Mambo mazuri yanakuja!!
Huyu Sankara Karamoko ni hatari. Niliwahi kusikia anahusishwa na Yanga[/QUOTE 5imba watamuwahi huyo.