FT: Simba 1 - 1 Asec Mimosas | CAF Champions league | Mkapa Stadium | 25.11.2023

FT: Simba 1 - 1 Asec Mimosas | CAF Champions league | Mkapa Stadium | 25.11.2023

20231125_183826.jpg

kiko wapi
 
Wachezaji wazuri Simba hawazidi 4

Sent using Jamii Forums mobile app
Simba wachezaji wengi ni wazuri, tatizo limekuwa la walimu. Kwa mfano leo, hakukuwa na muunganiko wa timu!! Hii imemfanya Inonga asipande kabisa kusaidia mashambulizi. Kilichokuwa kinatakiwa leo ni kutopoteza mchezo, tuki-buy time kabla kocha hajaanza mpya hajaanza kuisuka timu!! Mambo mazuri yanakuja!!
 
Back
Top Bottom