Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
Karibu kwa updates za moja kwa moja kutoka uwanja wa Hayati Benjamin William Mkapa.🏟
Mpira utaanza saa moja kamili usiku, saa za Afrika Mashariki.
Karibu.
00 refa anaanzisha mpira kwa kupuliza filimbi,
02 Goool Azam wanapata goli Prince Dube anaunyamazisha mji wa Dar, Simba kimyaaaa
20 Simba wanapambana kupata goli la kisawazisha
30 Mambo ni magumu kwa Simba, ushindani ni mkali na timu zote zinatumia nguvu
45 Kipa wa Azam FC, amegusana na Bocco na kulala, anatibiwa
Mapumziko
Kipindi cha pili kimeanza
50 Simba wanajaribu kupambana lakini walinzi wa Azam FC wapo makini
60 Azam wanavizia kupiga kaunta ataki
70 Shuti la Saido linapanguliwa inakuwa Kona
72 Simba wanaongeza Kasi yao katika kushambulia
90 Simba wanasawazisha kupitia kwa Kibu Denis
Mpira utaanza saa moja kamili usiku, saa za Afrika Mashariki.
Karibu.
00 refa anaanzisha mpira kwa kupuliza filimbi,
02 Goool Azam wanapata goli Prince Dube anaunyamazisha mji wa Dar, Simba kimyaaaa
20 Simba wanapambana kupata goli la kisawazisha
30 Mambo ni magumu kwa Simba, ushindani ni mkali na timu zote zinatumia nguvu
45 Kipa wa Azam FC, amegusana na Bocco na kulala, anatibiwa
Mapumziko
Kipindi cha pili kimeanza
50 Simba wanajaribu kupambana lakini walinzi wa Azam FC wapo makini
60 Azam wanavizia kupiga kaunta ataki
70 Shuti la Saido linapanguliwa inakuwa Kona
72 Simba wanaongeza Kasi yao katika kushambulia
90 Simba wanasawazisha kupitia kwa Kibu Denis