leadermoe
JF-Expert Member
- Feb 15, 2017
- 1,392
- 4,588
[emoji41]Acheni wanga nyie utopwozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji41]Acheni wanga nyie utopwozi
Jina zuri tumelipokea kwa mikono 2
Paka wa mzee mpili au?Hujawataja wale PAKA..!!! Au umewasahau?
Kwani de le lna maana gani?
Halafu leo Dube anawaweka tena..!!Paka wa mzee mpili au?
Mara Simba atabaki kuwa Simba, mara ghafra kila la kheri..!!! Huko kuomba kila la kheri maana yake Simba siku hizi ni paka flani hivi amazing anayehitaji maombiSimba atabaki kuwa Simba..kila la kheri Mnyama
Uzi utembee [emoji23][emoji23]Acheni wanga nyie utopwozi
waite panya kabisa, maana wanaishi kwa mashaka mashaka.Mara Simba atabaki kuwa Simba, mara ghafra kila la kheri..!!! Huko kuomba kila la kheri maana yake Simba siku hizi ni paka flani hivi amazing anayehitaji maombi
Wamekusikia bodi. Itasogezwa mbele kama ile ya Mbeya city. Ondoa shaka.Hii mechi kimsingi ingehairishwa, hata hiyo ya Yanga kesho ili kutoa nafasi ya timu kupumzika na kujiandaa mechi za kimataifa weekend inayokuja.
Hakuna viporo hapa bampa to bampa ukichoka una shuka njianiHii mechi kimsingi ingehairishwa, hata hiyo ya Yanga kesho ili kutoa nafasi ya timu kupumzika na kujiandaa mechi za kimataifa weekend inayokuja.
au sio hatukamatiki hatuzuilikiThis is simba angekufa asingeonekana kajeruhiwa na Simba akijeruhiwa magodoro utafutwa mapema
The return of Taifa kubwa
Kimoko tuHalafu leo Dube anawaweka tena..!!
Cha nguruweKimoko tu
Kule Brazil tunaita MbwembinhoMbwembwe tu za waja😂😂😂