Simeone
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 905
- 1,002
KOLO MOJA LIMESIKIKA LIKISEMA...Yanga ni vipofu walioona jua..yani kumfunga Tp Mazembe wanajikuutaaa wakati walifungwa na Ihefu....
Hili hawatakaa walisahau..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KOLO MOJA LIMESIKIKA LIKISEMA...Yanga ni vipofu walioona jua..yani kumfunga Tp Mazembe wanajikuutaaa wakati walifungwa na Ihefu....
Hili hawatakaa walisahau..
Watafurahi.Jina zuri tumelipokea kwa mikono 2
Wale wanaodhani mnyama atapigwa basi wasubirie kinyume nyume chake...
LOLOTE BAYA LIWAKUTE KINYUMENYUME FCKaribu kwa updates za moja kwa moja kutoka uwanja wa Hayati Benjamin William Mkapa.🏟
Mpira utaanza saa moja kamili usiku, saa za Afrika Mashariki.
Karibu.
Yupo Jukwaa la Kilimo na UfugajiHivi huyu ndugu yetu OKW BOBAN SUNZU amepatwa na nini? Nimemtafuta paka kule jukwaa la siasa bila mafanikio
ukikaidi utapigwa2 Tupo na Timu kama ilivyo NguvuMoja.
Mpeni ushirikiano kuleta updates mechi ikianza.....Hatujamzoea mleta uzi 😆 😆 😆
Nmeku quote, I'll be back after commercial breakKipigo atachopigwa leo Azam kitampotezea maana halisi ya mchezo ni burudani
Teh teh teh😂😂😂 bado anauguza majeraha baada ya kipigo toka kwa mwarabu..Hivi huyu ndugu yetu OKW BOBAN SUNZU amepatwa na nini? Nimemtafuta paka kule jukwaa la siasa bila mafanikio
Kabisa kabisa Bocco yupo juu ya Phiri na Baleke. Kuna namna hapo...