zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
anza kunyoosha mapemaKama Kocha Atarudi Na Bocco Basi, Nitanyoosha Mikono Juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anza kunyoosha mapemaKama Kocha Atarudi Na Bocco Basi, Nitanyoosha Mikono Juu
Ni kweliTatizo goal la azam dogo kipindi cha pili watakaa kwenye goal kubwa tutawashona
tukubali n nje ya box kwa nini hata iyo faulo haijatolewaUnaangalia wapi mkuu kumbe nje ya box ni penat
Ndio maana nimekukumbusha uliposema anawabaniaHata sisi tulikua na penalt kapeta
Fei anawaburuza sana utopoloni hamlali[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mlete Fei awasaidie
Pole mkuuNdio mmefungwa hivi
Wenzio wameona,. Angalia marudio baadae. Za mahengoUnaangalia wapi mkuu kumbe nje ya box ni penat
Ilo nenotukubali n nje ya box kwa nini hata iyo faulo haijatolewa
Uchambuzi umesikiliza na kuangalia?Wenzio wameona,. Angalia marudio baadae. Za mahengo
Simba SC hawatumii nafasi, ambapo Azam wamepata mbili tu na moja bao, Simba wamepata nyingi, wangekuwa makini ubao ungekuwa Simba wapo mbele.Azam hawana jipya, tatizo Simba hawatumii nafasi wanazopata ...
Mkuu umeandika kwa uchungu sanaKwanini waamuzi wengi hupenda kuibeba simba?ikifanya faulo refa anajitia hajaona,
Ikistahili penati kwenda goli la simba refa anapotezea..
Ikitokea mchezaji wa simba akiguswa tu eneo la karibu ya boksi la mpinzani refa anasema ni faulo!
Nyie hamjaliona hili?
Niko uwanjani, sisikilizi uchambuziUchambuzi umesikiliza na kuangalia?
Take it easy bro. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Heeeeeee Bado Yupo [emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Mwanasaikolojia anahitajika wakati huu.Tumetoka kufungwa..halafu tumefungwa goli la kustukiza la mapema..pressure ya mashabiki...wachezaji wako na mstuko..njia pekee ni utulivu tu.