joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Dalili zote zinaonyeshaDube anapachika la 2 muda sio mwingi..
Halafu wamrudishe nani?Robertinho aondokeeeee
It is very much possible[emoji1306][emoji1306]Usikate tamaa bado Dak 20 mtachomoa na kushinda
Makosa ya wachezaji wa Simba hauhitaji kuwa na degree kujua.Jana kuna mcha Mbuzi alikua anawaelekeza hayo makosa sasa sijui hua hawasikilizi?
Mgunda anaiangalia hii mechi, akishushia na Pepsi bariiidi ππππ
Me vle vleeMgunda anaiangalia hii mechi, akishushia na Pepsi bariiidi ππππ
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Timu imejaa wastaafu