FT: Simba 1-1 Azam FC | NBC Premium League | 21st February 2023 Benjamin Mkapa Stadium 🏟

FT: Simba 1-1 Azam FC | NBC Premium League | 21st February 2023 Benjamin Mkapa Stadium 🏟

Kanoute ana Kadi lakini anamla Dube mtama.. KAZI IPO Yaani
 
Sasa kama ni offside Refa anataka atoe kadi ya nini?
 
Huyu refa anawabeba sana Simba. Kanute amecheza zaidi ya faulo 5 baada ya kadi ya njano na bado yupo uwanjani[emoji119][emoji119]
 
Screenshot_20230221_200041_WhatsApp.jpg


C.c Kalpana
Shunie
Makiwendo ..
 
Back
Top Bottom