πππ Utapasua TvHivi Bocco alitoka? Nipo off tv kidogo nisije ipasua
Nitakupasua na wewe kaa mbali π π πUsitutishe π€£π€£π€£
Unatumia milion Mia 400 kwenda Dubai alfu unashinda kumsajili manzokoKambi ya Dubai imezaa matunda tunaona.
Yaniiiπππ Utapasua Tv
Nilikuita ili nije nikufariji ukajifanya we ni maskini jeuri (kiburi) sasa sina neno lolote juu yako [emoji2960]Sina kiu japo mate yamekauka
Mo Dewj ,Hana Mchango na Simba Sasa, Uwekezaji wake unazidiwa mbali kabisa na Baresa wa AzamTuna style za ajabu sana, Guardiola mwenyewe licha ya ufundi wake hufanya evolution ya timu, alitoa Sterling, Zichenko, na Jesus, akaweka kina Grealish, then juzi tena kamtoa Cancelo kwenda Bayern, Simba tunakomaa na wachezaji hao hao zaidi ya musimu sita kudadekii[emoji1787][emoji1787]
Labda sare ya vijora π€£Dk 87 Simba wanapambana kupata sare hapa
Tupo hutuoni au ndo kujishauwaaaππSimba huu uzi wenu, mbona mmeukimbia?
Ila mwenzenu vidole vimechoka kutype acheni tu, toka kwa Mkapa hatoki mtu. Mpaka leo mnalamba ice cream ya ukwaju ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ»