Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
We acha tu, ukimgusa kitandani unaambulia kipepsi.Muache dada wa watu usiku wa leo hali na haliwi 😁
Kwa sare hii angalau unaweza kupewa kinyonge🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We acha tu, ukimgusa kitandani unaambulia kipepsi.Muache dada wa watu usiku wa leo hali na haliwi 😁
Hamkomi tu kwa vidomo domo kama Waimba taarabu?[emoji2]Utopolo hii wiki yenu ya kubwabwaja[emoji36][emoji36][emoji36]tukitoka Uganda hiyo midomo mtaifunga[emoji2958][emoji2958][emoji2958]
Aaaah!! Hii imeniuma zaidi.
Kama ni hivyo basi huu mwaka ni wa tabu kwa upande wenu.Kuna muda inabidi
Sio mbaya tutafika tuu kwa kuchoka sanaa..na vizuri panapovuja panaonekanaKama ni hivyo basi huu mwaka ni wa tabu kwa upande wenu.
Ataitoa kinyonge akiwa anatazama ukutani 😃We acha tu, ukimgusa kitandani unaambulia kipepsi.
Kwa sare hii angalau unaweza kupewa kinyonge🤣🤣
[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Nani huyooo??Ataitoa kinyonge akiwa anatazama ukutani 😃
Wameizima kabisa furaha yangu wajinga hawa.Hupendezi kuwa na roho mbayaaaa
yulee hana lolote😂😂😂😂Mtu msiyemtegemea ndio anawaokoa wakati usiotarajia
Si mlisema Simba haina bsi, sasa dereva wa basi gani tena? 😂😂😂hivi simba leo wamebadilisha yulee dereva wa basi eee 😂😂😂
Naona wametingwa kushangilia sare!! Yaani hata hawaamini.
Endelea kushabikia wajaza mavi Fc kwa kyupi...Kinyumenyume fc Ngada fc Mikia fc Makolo fc paka fc nashangaa mtu anawezaje kushabikia hii mikia