Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Kigoli cha kuoteaJogoo mliemchinja kawaaibisha mmepigwa kibao cha fasta kama goli la jogoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigoli cha kuoteaJogoo mliemchinja kawaaibisha mmepigwa kibao cha fasta kama goli la jogoo
Labda atoke ila umeme utamuhusuKanoute ana rough za kipuuuzi sometimes
Mwalimu kakusikia. Kibu is onHivi ni nini mwalimu anasubiri kuwaingiza hata striker mwingine?
Mwaka wetu huu kaka 😄Hii timu itatuua
Huyo kawaida yake tuKanoute kwa hali inavyo endelea anaweza kula Msimbazi.
Kwanza hayatuhusuu[emoji23]Tunaangali ya leo,nani ajuaye ya jmosi?
Acha tuuMwaka wetu huu kaka 😄
Oteeni na nyieKigoli cha kuotea
Umekoma au bado?Mwaka wetu huu kaka [emoji1]
Jmn vitamba avichezi Any player can be a captain but still timu ikavurundaaNakubalina na wewe Madenge
Dakika ya ngapi au mnaangalia Virtual?Hii timu itatuua
😀😀😀Punguza pressure mkuu game bado mbichi hiiMazindiko mliyoyafanya hapo Lupaso ili mnyama ateseke Mungu anawaona
Kabisa yaani. Ana nini cha ziada cha kumuweka Phiri nje?Huyu Bocco nilikuwa sitaki kujiingiza kwenye ligi ya uchawi, lakini sasa ....