Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ShikamoooUzuri wa wana SIMBA huwa hatukimbii nyuzi zetu
Kwani zilikuwa na mimba mtani? 🤣🤣🤣Haya magoli yoteee yamepoteaaa
Uwiiiiiii
Kona zote hazijazaa
Kwani nini mkuuHi match refa imemkataa
Bora angepewa hata kayoko
Nani mwenye huo muda mchafu? Angekua bora, Yanga isingemuachia. Vile vigoli alivyofunga siku za mwanzo hapo mimbazi, ulikua ni moto wa mabua!Mmemroga Saido?
Oooh kumbe ushaiweka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu ukiwa nyuma utaona wachezaji pinzani wanapoteza muda.Huyu kipa wa Azam anapoteza muda tu
Ilikuwa foul lakini nje ya eneo.Daah tuta refa kapeta.
Hujaona sambaloketo yake??Chama hayupo?
Hujaona sambaloketo yake??
Refa quality ni very low
Boli limetembea labda kama ww huoni tena kwa kiwango cha juuAloo kwahyo now hasukumi boll
Anapiga sambaloketo[emoji16][emoji16]