FT: Simba 1-1 Azam FC | NBC Premium League | 21st February 2023 Benjamin Mkapa Stadium 🏟

FT: Simba 1-1 Azam FC | NBC Premium League | 21st February 2023 Benjamin Mkapa Stadium 🏟

Mbona Kyombo mpira unangonga tu shida nini.. Ilikuwa nafasi ya kuingia Phiri
 
Mambo ya Ajabu sana watu wako Simba misimu mingiiii alafu haohao wakupe matokeo unaotaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuna style za ajabu sana, Guardiola mwenyewe licha ya ufundi wake hufanya evolution ya timu, alitoa Sterling, Zichenko, na Jesus, akaweka kina Grealish, then juzi tena kamtoa Cancelo kwenda Bayern, Simba tunakomaa na wachezaji hao hao zaidi ya misimu sita kudadekii[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom