Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Wachezaji wachezaji wachezaji.
Hatutoboiii
Hatutoboiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina kiu japo mate yamekaukaHali yenu kwa sasa 😅😅😅
Kunywa maji mengiiiView attachment 2525497
Easy [emoji17][emoji17]Wanaocomment ni Shoga zake Azam
Mambo ya Ajabu sana watu wako Simba misimu mingiiii alafu haohao wakupe matokeo unaotaka🤣🤣🤣Kapombe, Zimbwe, Bocco, mpaka Nyoni nae yuko benchi[emoji1787][emoji1787]
Eti??? Watu wana maneno 😄😄😄😄😄🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻Kuna mtu kasema refa amalize mpira wengine tunakaa mbali 🤣🤣🤣
C mnamuita generaliSitaki kuamini moses phiri yupo nje alafu anamuweka kyombo ndani ??? Kweli ???
Huu ni upuuzi.
Yeah alitokaHivi Bocco alitoka? Nipo off tv kidogo nisije ipasua
Kaingia nani?Yeah alitoka
Ametoka muda sanaHivi Bocco alitoka? Nipo off tv kidogo nisije ipasua
Usitutishe 🤣🤣🤣Hivi Bocco alitoka? Nipo off tv kidogo nisije ipasua
Kaingia Baleke,Kiyombo piaKaingia nani?
Tuna style za ajabu sana, Guardiola mwenyewe licha ya ufundi wake hufanya evolution ya timu, alitoa Sterling, Zichenko, na Jesus, akaweka kina Grealish, then juzi tena kamtoa Cancelo kwenda Bayern, Simba tunakomaa na wachezaji hao hao zaidi ya misimu sita kudadekii[emoji1787][emoji1787]Mambo ya Ajabu sana watu wako Simba misimu mingiiii alafu haohao wakupe matokeo unaotaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]