Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo unywe wine hapa Dompo ushushie jaka moyo shoga anguKwakweli sijapenda.
Tutawaleza nini sisi Mabingwa wetu Yanga msimu huu [emoji1787]Kipigo atachopigwa leo Azam kitampotezea maana halisi ya mchezo ni burudani
Naona ulishajifunika shuka🤣🤣🤣Kwa dkk 45 nilizoangalia Simba yangu mmecheza kiume...Tutafika tuu japo tukiwa tumechokaaa
Nilishindwa kuendelea kuangalia kwa kukosa uvumilivu...
Ila mashabiki wa yanga dasilamu mnatuangushaaa leo uwanja ungejaa kijani, mechi kama hizi ziletwe mkoani hukuKuna mtu kasema wanatafuta sare ya kwenda nayo Uganda
Mpaka utulie na Kocha aijue Timu,wenzio tutakuwa tunainua kwapaHii ni upepo tu, unapita.
Upepo gani kwa msiokua na falsafa ya kujenga timu? Kocha mnafukuza sana alafu unasema ni upepoHii ni upepo tu, unapita.
Hili jaka la moyo hata ninywe nini halishuki. Azam hawana adabu kenge hawa, watajifungaje!!!Njoo unywe wine haoa Dompo ushushie jaka moyo shoga angu
Ndo napata njaa nile best...karibuNaona ulishajifunika shuka🤣🤣🤣
Hilo la ubingwa walishajua hamna chao.Kwa kupata sare? gape ni point ngapi hapo na mabingwa wa nchi?
Kwa kudondosha point mbili kuongea kitu gani?afadhali tupatee cha kuongeleaa vijiwee vya kidikitali
Hawajalitambua hiliMpaka utulie na Kocha aijue Timu,wenzio tutakuwa tunainua kwapa
[emoji1545][emoji818][emoji173][emoji817]90+5' Naaaaaam Mpira Umekwishaaaaaa ambapo Simba SC 1-1 Azam FC
.... Ghazwat..
Kula angalau amani irudi home🤣Ndo napata njaa nile best...karibu
Muache dada wa watu usiku wa leo hali na haliwi 😁Naona ulishajifunika shuka🤣🤣🤣