Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Umeomba kwa jina la Hamsa Mobeto bila shaka, yule kahaba ataisikia maombi yako 🤣🤣Lolote baya limkute mnyama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeomba kwa jina la Hamsa Mobeto bila shaka, yule kahaba ataisikia maombi yako 🤣🤣Lolote baya limkute mnyama.
Kombe la looser aliita msemaji wenu ManaraLolote liwakute, like kombe aliloliita la Losers linawasubir
Losers kuanzia mwaka jana hawachezi shirikisho... wanatolewa kijumla wanaposhindwa. Utopolo walikuwa losers wa mwisho kuruhusuwa kucheza shurikisho.Kombe la looser aliita msemaji wenu Manara
Kumbe wanapoteza nafsi na hamsemiHii mechi hadi sasa wachezaji wa JKT wajilaumu kwa zile nafasi tatu za wazi walizozipoteza.
Umewafundisha mwenyewe kuwa na roho mbayaMna roho mbaya sana nyie watu
Ndio huyo huyo alisema wenye akili ni wawili mkakubaliana nae hata hili la kombe la loser inabidi mkubaliane naeKombe la looser aliita msemaji wenu Manara
Vyovyote vile nendeni mkachezeLosers kuanzia mwaka jana hawachezi shirikisho... wanatolewa kijumla wanaposhindwa. Utopolo walikuwa losers wa mwisho kuruhusuwa kucheza shurikisho.