MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Uzi umedoda ๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwepo wako tu humu ushafika mbinguni unahisi mashabiki wanapenda walichofanyiwa na wachezaji/vopngoziUzi umedoda ๐๐๐
Simba tunaihitaji nafasi ya pili, ipo hatarini kuchukuliwa na Azam, hatuwezi fanya huo utopolo. Yanga fanyeni mkifanikiwa kwaokoa tengenezeni bango.Simba mngewaachia point 3 Mtibwa, Yanga tukawaachia na Azam akawaachia hizi point 9 zingewafaa jumlisha droo kadhaa watakazopata ingewanusuru kushuka daraja. Hiki ni kiwanda cha wachezaji ambacho hamna mpenda soka anafurahi kuona wakiondoka.
Ni uzembe wao wenyewe hao Mtibwa. Nahisi nao wana shida kwenye uongozi wao. Wanashindwa kwenda hapo Congo wakapata wachezaji wazoefu kama 3 wakawachanganya na madogo wanaowakuza?Simba mngewaachia point 3 Mtibwa, Yanga tukawaachia na Azam akawaachia hizi point 9 zingewafaa jumlisha droo kadhaa watakazopata ingewanusuru kushuka daraja. Hiki ni kiwanda cha wachezaji ambacho hamna mpenda soka anafurahi kuona wakiondoka.
Bila picha post yako ni batiliWenzangu mnamwona mwamuzi namba 2 au mmefocus kwenye boli tu?
Mwenye jina lake tafadhali nimfollow kabisa maana mimi napenda wanawake waliojaaliwa neema za mnyaazi Mungu.
Mkuu nilikuwa naangalia tv hapa bar nimeshindwa kumpiga picha ila kajaaliwa na anatabasamu fulani hivi!Bila picha post yako ni batili
Wamestahili kwakweli hamna timu hapoRasmi mtibwa yashuka daraja
Ile kesi ya mwanzo haijaisha! Umetafuta pa kutokea๐๐ ๐ sawa bina.
Uzi umedoda ๐๐๐