FT: Simba 2-0 Nyasa Big Bullets (Agg 4-0) | CAF Champions League | Mkapa Stadium

FT: Simba 2-0 Nyasa Big Bullets (Agg 4-0) | CAF Champions League | Mkapa Stadium

Tusiogope kuambiana ukweli sababu ya historia mkuu. Kumbuka haya mashindano ni ya mtoano yanahitaji ubora wa mchezaji kila anapohitajika uwanjani.
Kibu ni mzuri lakini anafanya makosa mengi sana uwanjani kabla hajafanya moja zuri.
Mechi mbili zilizopita wala sio historia, Hapa yaani nazungumzia mechi mbili ndani ya siku saba tu zilizopita, assist ya vichwa vya Kibu zilizaa bao la kwanza la kule Malawi dhidi ya Bullets, na bao pekee dakika za mwisho hapo Mbeya dhidi ya Prisons
 
Mechi mbili zilizopita wala sio historia, Hapa yaani nazungumzia mechi mbili ndani ya siku saba tu zilizopita, assist ya vichwa vya Kibu zilizaa bao la kwanza la kule Malawi dhidi ya Bullets, na bao pekee dakika za mwisho hapo Mbeya dhidi ya Prisons
Mi ki ukweli sipendi.kuwasema au kuwalaumu wachezaji labda wafanye makosa ya kipumbavu sana.
 
Nyie mnatolewa kamasi na kmc?kwenye nbc league mechi zenu zote mbili za mwisho ilifanywa mkabebwabebwa na waamuzi

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Usifananishe mechi za kijinga za nbc za mechi za club bingwa..yani sisi tuko kwny mambo ya kuwakilisha taifa unakuja na ref zako za kiutopolo
 
Back
Top Bottom