Kwa spidi ya 5gDaah Uzi unakimbia huu
Unapoanza kujadili makosa ya kiuandishi (hasa la kusahau kuweka SPACE kati ya neno) ilhali maana na ujumbe unaeleweka, ni ishara ya kukosa mashiko.Una unavyoadika for sure kama unajua maana yake,,,wewe gumbalu rudi shule.
Unapigwa "Nje Ndani"Hivi mnajua kwamba Simba ndo ilikua ugenini ikambutua mtu na ikaja kwake ikambutua mtu utailinganisha na vyura kweli?