Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Tuzoee na hii ndo maana ya Simba haiboi haichoshiMambumbumbu yakifungwa lawama Kwa Matola, sijui huwa mnajizima data?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuzoee na hii ndo maana ya Simba haiboi haichoshiMambumbumbu yakifungwa lawama Kwa Matola, sijui huwa mnajizima data?
Hat trick not for everyone. Ni Kwa special talent tu.Mkuu si tunacheza mechi ya hadhi ya CL,jana watu walikuwa wanacheza na team ya Ndondo Cup hata wao walijua hilo ndiyo maana walipooza
Yuko vizuri sanaMzungu wamuamini tuu aisee
Safi sana Simba, pira Biryani tumeliona.
Hii ndio maana halisi ya kwamkapa hatoki mtu.
Aya mlete Premiero de Agosto Sasa tuwatwange mapema sana
Jamaa anaupiga vizuri sana wampe muda tuVipi ana tachezi za kiufundi?!?!
Huwa Napenda unavyojitofautisha na mashabiki Mbumbumbu. Hebu endelea kuthibitisha Hilo.Ishu ni dhidi ya timu gani?
TunajiaminiIla Simba mnapenda kuongea jamani khaa uzi unapeperuka huu unaweza fika elfu leo
Vitu viko hadharani ndugu.....hizo touch ni Nou camp au BernabeuVipi ana tachezi za kiufundi?!?!
Wale Zalan hata sisi tukiungana humu tukatimia 11 tukasema tuache fitna zetu za usimba na uyangaZa Mechi dhidi ya team ya Umiseta [emoji848]
Ndio mkuu tunakutana nao hao na tunaanzia ugenini Angola then tunakuja kumaliza Kwa mkapa hapaTunakutana Na Hawa?
Tuanzie Kwao
Hata jukwaa la Simba humu Jf sijawahi kuona likidorora hii ni ishara kwamba Simba mitandaoni haishikikiSijawahi kuona uzi wa mechi za Simba Sc ukidorora, hii ni ishara ya kwamba Simba Sc haishikiki kwenye mitandao ya kijamii kihalali kabisa.
Tazama wa vyura kama reference.View attachment 2360849
Amemchezesha kwa aibu....lakini sio kwa mapenzi......nadhani hata Big bullet wameshangazwa kwanini striker hatari kama yule anaanzia benchi....Mkuu mgunda si ndio amemchezesha
YouTube huwa Azam tv wanatoa zile sehemu mzuri kwa dakika 20Hii game watairudia kweli