FT: Simba 2-0 Nyasa Big Bullets (Agg 4-0) | CAF Champions League | Mkapa Stadium

FT: Simba 2-0 Nyasa Big Bullets (Agg 4-0) | CAF Champions League | Mkapa Stadium

Wale Zalan hata sisi tukiungana humu tukatimia 11 tukasema tuache fitna zetu za usimba na uyanga

Mimi nikacheza nafasi ya striker, afu OKW BOBAN SUNZU akatokea kama Sakho halafu upande wa kushoto akasimama Matola Eneo la kiungo tukamuweka Lupweko tukamtafuta Mshana Jr akasimama golini na vibuyu kadhaa Kisha Tate Mkuu akacheza fullback

Halafu benchi tukamuweka ukikaidi utapigwa2 ambaye sub yake itafanyika dakika ya 89 kwa kubadilishana na Tate Mkuu

Hao Zalan wanatokaje kwa mfumo huo?

Mechi inaisha nimepiga nimepiga hattrick 3 afu sina habari wala sishangilii
Kama Simba imefungwa na timu kutoka Djibut As Atra inaweza vipi kuifunga Zalaani!!!
 
Kama Simba imefungwa na timu kutoka Djibut As Atra inaweza vipi kuifunga Zalaani!!!
Ishu sio timu ya wapi, ishu ni ubora wa timu husika

Mechi yenu ya kwanza ambapo mlikiwa wageni mimi sikuiangalia

Jana wakati ndio mpira unataka kuanza nikashangaa kuona vijana wenye miili dhaifu sana

Upande nilokuwa nimekaa kulikuwa na jirani yangu yeye ni Daktari, akaniambia hao wagonjwa wa unyafuzi wameingia kutafuta nini humo uwanjani na sheria zinasema vipi kuhusu hili?

Baadaye nikashangaa wakitambulishwa kuwa hao ndio Zalan, nilichoka.
 
Ishu sio timu ya wapi, ishu ni ubora wa timu husika

Mechi yenu ya kwanza ambapo mlikiwa wageni mimi sikuiangalia

Jana wakati ndio mpira unataka kuanza nikashangaa kuona vijana wenye miili dhaifu sana

Upande nilokuwa nimekaa kulikuwa na jirani yangu yeye ni Daktari, akaniambia hao wagonjwa wa unyafuzi wameingia kutafuta nini humo uwanjani na sheria zinasema vipi kuhusu hili?

Baadaye nikashangaa wakitambulishwa kuwa hao ndio Zalan, nilichoka.
Vip nyinyi Simba ambao mna Afya imejaa tele tunavyo wapasua shida inakua ni Nini?
 
Ishu sio timu ya wapi, ishu ni ubora wa timu husika

Mechi yenu ya kwanza ambapo mlikiwa wageni mimi sikuiangalia

Jana wakati ndio mpira unataka kuanza nikashangaa kuona vijana wenye miili dhaifu sana

Upande nilokuwa nimekaa kulikuwa na jirani yangu yeye ni Daktari, akaniambia hao wagonjwa wa unyafuzi wameingia kutafuta nini humo uwanjani na sheria zinasema vipi kuhusu hili?

Baadaye nikashangaa wakitambulishwa kuwa hao ndio Zalan, nilichoka.
Unajionaga una akili sana , kwahiyo unajisahaulisha kuwa Yanga imekufunga
 
Back
Top Bottom