Yule coach mshenzi Sana kwanza mdhungu amfate alikoEti Phiri hakuwa katika mipango yake[emoji38][emoji38][emoji38]yule kocha ni bora ameondoka
Tukichukua!?Assist na goli ni kutoka Zambia...chukua hyooooo
Mi naamini maana nimeangalia clips nyingi za Phiri nikajiridhisha the guy is next level.Ile ilikuwa mipango mzungu apate uhakika
Kanywe nayo chaiTukichukua!?
Inabidi tukaoe sana huko😆😆Assist na goli ni kutoka Zambia...chukua hyooooo
Ishu ni dhidi ya timu gani?Mayele ka score hat trick Mara mbili unamlinganisha na hiyo takataka kibu?
Hatari sanaAssist na goli ni kutoka Zambia...chukua hyooooo
NBB ni timu sio ni maiti mliyojiokoteaMayele ka score hat trick Mara mbili unamlinganisha na hiyo takataka kibu?
Umeshindaje mamanguMungu Ibariki SSC...