OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kibu hata ball control hawezi.Second half nategemea kumuona mtu kama Okwa kwenye nafasi ya Kibu D
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibu hata ball control hawezi.Second half nategemea kumuona mtu kama Okwa kwenye nafasi ya Kibu D
Hujui kuwa zalan ni bigwa wa Sudan kusini?Ishu ni dhidi ya timu gani?
Kituko kingine oktoba 23 hapo hapo kwa mkapa anzeni kununua dozi za panadol.Hii ndiyo mechi halisi ya mabingwa wa Africa. Siyo kile kituko cha jana.
Kituko kilianzia ngao ya jamii tukifungua pazia la ligiHii ndiyo mechi halisi ya mabingwa wa Africa. Siyo kile kituko cha jana.
Nimemshangaa leo hadi saa hizi hajacheza faulu..ameanzisha mpira uliozaa goli na kukosa goli moja.Sadio Kanoute "Putin"
Hawezi kumfikia Chama. Chama atabaki mmoja tu Tanzania.Ngoja Aziz Ki akolee...
Sawa mkuu, napenda mtu anaye analyse siyo kushabikia tu mpiraKibu hata ball control hawezi.
JRM Yuko kaziniNimemshangaa leo hadi saa hizi hajacheza faulu..ameanzisha mpira uliozaa goli na kukosa goli moja.
Wewe naye umawashwa tuu, mechi ni ya Simba, uzi wa Wanasimba nani kakualika utuletee harufu yenu ya Vinyesi FC au ndio ile kusema mwenye akili ni JK na Mzee ManaraKituko kingine oktoba 23 hapo hapo kwa mkapa anzeni kununua dozi za panadol.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Bingwa kutoka ligi yenye upinzani gani?Hujui kuwa zalan ni bigwa wa Sudan kusini?
Hunaga baya best anguNawatakia ushindi watani zetu ili tusonge wote
Nyie wale ni kuwaonea huruma jamani mi nikiwaangalia najisikia vibaya. Yanga hawakupaswa kutumia nguvu nyingi vileBingwa kutoka ligi yenye upinzani gani?
Kama bingwa tu anacheza vile, hao wengine hali ikoje?