FT: Simba 2-0 Nyasa Big Bullets (Agg 4-0) | CAF Champions League | Mkapa Stadium

FT: Simba 2-0 Nyasa Big Bullets (Agg 4-0) | CAF Champions League | Mkapa Stadium

Wakati yanga inamaliza Half Time haijafunga mlisema Yanga ni mbovu,, walivyoshinda mnasema Yanga haikupaswa kutumia nguvu kubwa
Hapo sasa ndo utamu wa mchezo ulipo..mimi wala siwadharau Yanga kukosa mabao kipindi cha kwanza inakua kila timu imekamia
 
Utadhani siyo wao waliotoka kutolewa kamasi na Prison na kuambulia kigoli kimoja Kwa mbinde dakika za lala Salama.
28240BE5-0300-485A-A132-1EFB525836C9.jpeg
 
Back
Top Bottom