Uniulize mbinu za nyie mtashindaje??90 zikiisha nitakutafta
Yanini yote hiyo wakati vitu vinaonekanaTumpe misimu miwili hapa, kila aliyekuja hapa ni bora.
Pumbavu mpe nyie wenyewe makolo mliokuwa mnatukana kila sikuDhambi za Onana apewe Utopolo gani wa humu?
Huwa unamzingua simba akiharibu, zamu yako sasaKazi ipo leo.
Huyo shemeji yenu leo sijui nitaongea nini! Ana tambo huyo balaa ππ
No utani tu...Kunywa maji upoe.Pumbavu mpe nyie wenyewe makolo mliokuwa mnatukana kila siku
Hata mechi iliyopita pia nilikuwepo.
Kwamba utahamia Yanga SC 2024, karibu sana kwa Wananchi Makolokolo lakini mikosi ya klabu yenu huko huko [emoji16][emoji4]Nilisema mimi
Pengine itakua ivo [emoji1787]Uniulize mbinu za nyie mtashindaje??
Nipo na wanangu kibanda umiza tunamsifia AYOUB balaa, utazani sio yule wa magoli ya mbali, tunasema ile ilikuwa bahati mbaya tuMashabiki mlio kuwa mnamponda Onana leo mtazificha wapi sura zenu!!! π€
Hebu nipitishe bana leo sitaki watu wenye vibe la ki utopolo.....Kwamba utahamia Yanga SC 2024, karibu sana kwa Wananchi Makolokolo lakini mikosi ya klabu yenu huko huko [emoji16][emoji4]
ππIweke kwenye begi mkuu
Sikuwepo mtani nilitingwaaa.... π π π πMtani umekuja kutoka mafichoni baada ya kuona vijana wanafanya kweli! Nimekuanzishia mpaka uzi wa kutabiri! Nikaku tag, wapi!!! π