Ipende Simba.Ukweli leo nimejikuta na wakati mgumu sana, sikutamani Simba ashinde pia sikutaka kuona mwarabu naye akishinda.
Nilichojifunza ni kwamba Chuki ni kitu kibaya sana. Naichukia Simba na Namchukia mwarabu sasa sijui nifanyaje?
🥰🥰🥰Naipenda simba mshabiki wa Damuuuuuuuuu
UtakufwaaawUkweli leo nimejikuta na wakati mgumu sana, sikutamani Simba ashinde pia sikutaka kuona mwarabu naye akishinda.
Nilichojifunza ni kwamba Chuki ni kitu kibaya sana. Naichukia Simba na Namchukia mwarabu sasa sijui nifanyaje?
Fanya unaloweza mkuuUkweli leo nimejikuta na wakati mgumu sana, sikutamani Simba ashinde pia sikutaka kuona mwarabu naye akishinda.
Nilichojifunza ni kwamba Chuki ni kitu kibaya sana. Naichukia Simba na Namchukia mwarabu sasa sijui nifanyaje?
WeraaaaaaaaaWeraaaaaaaaaaaaaa
Wapende madeamaUkweli leo nimejikuta na wakati mgumu sana, sikutamani Simba ashinde pia sikutaka kuona mwarabu naye akishinda.
Nilichojifunza ni kwamba Chuki ni kitu kibaya sana. Naichukia Simba na Namchukia mwarabu sasa sijui nifanyaje?
[emoji1787][emoji1787] Akifika Anafukuzwa kazee kawatuKOchq wa Widadiii anataka kuzimia jamani mumshikeee
Unateseka?Leo mtamsifia Kila mchezaji
Ahsante msoma wakatiZimebaki sekunde 6
NakaziaWale Jwaneng Wakija Inabidi Wafe Kifo Kibaya Sanaaaaaaaaa
Nimejitaidi lakini nimeshindwa. Naona nishangilie kuona mwarabu kufungwa pasipo kuangalia aliyemfunga