FT: Simba 2-0 Wydad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 19.12.2023

Tatizo mapenzi ya timu huwa yanawaathiri sana ndio maana hamtaki kuusikia ukweli wowote unaokosoa timu unayoshabikia. Mnapenda kusikia mazuri tu na yale ya kuwapa matumaini.

Haya: Naiona Simba ikifika fainali na Onana lazima achukue MVP. KWA MOTO HUU WA SIMBA SIONI WA KUIZUIA ISIFIKE FAINALI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…