FT: Simba 2-0 Wydad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 19.12.2023

FT: Simba 2-0 Wydad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 19.12.2023

Tunaizungumzia Wydad ya sasa. Mbona huitaji Galaxy ni ya ngapi kwenye mkeka wa Caf na imeifunga Wydad. Ukweli utabaki wazi kuwa Wydad ya sasa ni vbonde, hivyo msijione miamba sana kuwafunga
Kawafungeni na nyie sasa, shida wabongo wamezoea kufungwa tu na timu pinzani, ila timu zetu zikoshinda watu hawataki kuamini kama soka letu linapanda kwa kasi.
Kwa hyo kwenye records wataaindika walifungwa kwa sababu walikua vibonde? Record is record tu
 
Kawafungeni na nyie sasa, shida wabongo wamezoea kufungwa tu na timu pinzani, ila timu zetu zikoshinda watu hawataki kuamini kama soka letu linapanda kwa kasi.
Kwa hyo kwenye records wataaindika walifungwa kwa sababu walikua vibonde? Record is record tu
Kwanza kwa Wydad hii kila mtu alijua Simba lazima ashinde. Hata kule kwa mlifungwa kwa ujinga wenu. Ingekuwa Azam au Singida angeshinda kule.
Kwanza umeona kuna wanasimba wengi wanaoshangilia huo ushindi, walijua kushinda ni lazima.

Mkuifunga Asec kule ndio mjiite wanaume
 
Kwanza kwa Wydad hii kila mtu alijua Simba lazima ashinde. Hata kule kwa mlifungwa kwa ujinga wenu. Ingekuwa Azam au Singida angeshinda kule.
Kwanza umeona kuna wanasimba wengi wanaoshangilia huo ushindi, walijua kushinda ni lazima.

Mkuifunga Asec kule ndio mjiite wanaume
Ingekuwa Mashujaa wa kigoma, Medeama angekufa nyumbani kwao!! Hapo vipi!!
 
Kwanza kwa Wydad hii kila mtu alijua Simba lazima ashinde. Hata kule kwa mlifungwa kwa ujinga wenu. Ingekuwa Azam au Singida angeshinda kule.
Kwanza umeona kuna wanasimba wengi wanaoshangilia huo ushindi, walijua kushinda ni lazima.

Mkuifunga Asec kule ndio mjiite wanaume
Wewe ni either sio mtu wa mpira au una chuki zako tu na Simba, ukweli nikua timu zetu zimepiga hatua Simba halkadhalika Yanga pia.

Wydad ndie finalist wa AFL na budget zao hivo vilabu zinajulikana ziko juu hatuzifikii hata nusu yake punguza chuki uinjoi football
 
Mkuu siyo kwamba mkilingana points wanaangalia kwanza magoli,yakilingana pia ndo waanhalie head to head?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana,CAF kwenye mashindano yao yote cha kwanza wanaangalia head to head,kisha kama mlidraw head to head wanaangalia mwenye magoli mengi ugenini (mfano Simba vs Al Ahly kwenye AFL) halafu hatua ya tatu ndio wanaangalia nani mwenye GD kubwa
 
Back
Top Bottom