Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
90 zikiisha nitakutaftaNilisema mimi
Unateseka ukiwa wapi bwashee?Hamna mchezaji umo
Wewe muda wote unaiwaza Yanga tu.Pacome alihitaji mechi mbili kufunga goli mbili
Guvu moyaaa
leo tarehe 19.12.2023 Mnyama anashuka Dimbani kuzisaka alama tatu za kwanza za hatua ya makundi ya Wydada Casablanca.
Mechi hizi zitachezwa saa 10:00 jioni.
Nini maoni yako kuhusu mchezo huu?
Ungana nami katika uzi huu ambao nitakuletea kila kitakachojiri kabla na wakati wa mchezo.
View attachment 2847129
Kikosi cha Simba kilichoanza
View attachment 2847133
Kikosi cha Wydad kilichoanza
Baleke je [emoji848][emoji1787]Pacome alihitaji mechi mbili kufunga goli mbili
Leo mnashinda msiwe na wasiwasiTatizo letu tukishapata tu goli tunaanza kurelax na kupaki basi, i hope leo watarekebisha hilo, vinginevyo ndio yale yale tena ya draw ama kufungwa kabisa
Hatuna muda wa kupotezaTayari mmeshaanza!
Mcheza kwao utunzwaAsante refa kutubeba ilikuwa tuta
Tumpe misimu miwili hapa, kila aliyekuja hapa ni bora.Huyu hajaanza kucheza hapa
Huko tulikomtoq alikuwa ndio kipa bora
Iweke kwenye begi mkuuSasa watani,
Nitaweka wapi sura yangu baada ya masimango yote yale..!!
Mtani umekuja kutoka mafichoni baada ya kuona vijana wanafanya kweli! Nimekuanzishia mpaka uzi wa kutabiri! Nikaku tag, wapi!!! 😁Hawaminii wanachokionaaa
Namaanisha hilo hirizi maana liliondoshwa wakati wa ukarabati.Bado