joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Unamzungumzia kipa bora wa 22/23......Kwa Diarra kwenye zile shuti 3 angefungwa 4
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamzungumzia kipa bora wa 22/23......Kwa Diarra kwenye zile shuti 3 angefungwa 4
Angalia hata market valueHata saa mbovu kuna wakati inasema ukweli, haina maana kwamba ni nzima.
Apewe Aziz Ki 😁😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Dhambi za Onana apewe Utopolo gani wa humu?
Mshaanza maneno, daah sisi tunawaombea tena mnatusimanga[emoji38]Mwambieni Gamondi ashike daftari na peni ajifunze jinsi ya kumdhibiti mwarabu anapoingia nyumbani kwako
Maveterani FC 🤣🤣🤣Uwaone Wastaafu tupu wa Makolokolo SC [emoji28]
My take ni kwamba tinho boi alituinulia kibu tulie kuwa tukimponda and now mr benchika anatuinulia onana and ayubu waliokuwa wakipondwaHuwa tunabadilika kutokana na mazingira mkuu
Imejaa upepoHii waidadi vipi
Bora dhidi ya nani?Unamzungumzia kipa bora wa 22/23......
Kazi ipo leo.Hatuna muda wa kupoteza
Upo?Mashabiki mlio kuwa mnamponda Onana leo mtazificha wapi sura zenu!!! [emoji2960]
Ha ha ha ha kajiandae na Medeama tafadhaliMaveterani FC [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umekula makande umeshiba unakuja andika umakande wako apaKwa Diarra kwenye zile shuti 3 angefungwa 4
Hii Wydad ya msimu huu hamna kitu. Ni kama Mtibwa Sugar tu. Ingepangwa kundi moja na timu kali kabisa kama Yanga, aisee ingefungwa goki 10.Hii waidadi vipi
Ni timu yangu hiyoWewe muda wote unaiwaza Yanga tu.
Miziz mingi uwezo mdogoKweli nimeamini simba ni wa kimataifa. Sijui Yanga tunafail wapi
Kutesa kwa zamu, ulimtesa sana karibia wiki tatu kuanzia ile siku 5, wacha leo atambeKazi ipo leo.
Huyo shemeji yenu leo sijui nitaongea nini! Ana tambo huyo balaa [emoji24][emoji24]
Kwani Ayubu ana cleansheet ngapi ,Diara ana cleansheet ngapi.Bora dhidi ya nani?
Dhidi ya Ayoub?