FT: Simba 2-0 Yanga | NBC PL | Benjamin Mkapa Stadium | 16.04.2023

*** Familia ya bibi na bwana TFF inayo furaha kubwa kukualika/kuwaalika Bwn/ bib/ prof/ mch/ Mh/Dr/Bwn&bib................ Kwenye harusi ya kijana wao mpendwa SIMBA SPORT CLUB Anaetarajia kufunga ndoa na binti mrembo YANGA Harusi itafanyika siku ya juma pili tarehe 16/04/2023 katika ukumbi wa BENJAMIN MKAPA Jumapili Ndo Hiyo leo Kitawaka kuanzia saa 11:00 jioni hvy ukiwa kama ndugu na jamaa unaombwa kufika bila kukosa ukipata mwariko huu mjurishe na mwenzio
 
Mara paaap! tunapigwa.
Ni balaa sana mjombà
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…