Siku ya furaha leo sio kitotoNyieeee.
Ni hivi[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
leo tumepatikana
Ni kweli mkuu.Mda bado
Kalpana yuko wapi sijui....Mtafute Bantu Lady asije akajiua halafu Kalpana yuko wapi auntie
Naamini Baleke lazima ashinde leoHuyu lazima awaweke...kwakosa ya kwanza, hawakosi mara mbili..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]PoleeeYanga kwa kunivunja moyo tu hawajambo[emoji22][emoji22][emoji22]