FT: Simba 2-0 Yanga | NBC PL | Benjamin Mkapa Stadium | 16.04.2023

Wasiwasi wa nini? Siku zite Simba Sc huwa inashinda pale tu inapokutana na team ndogo[emoji1].
Wewe umeanza ushabiki juzi tu huna ulijuwalo.

Timu bora inaweza kupata matokeo Mabaya kwenye mechi, hata mchezaji mzuri anaweza asiwe na siku nzuri kwenye mechi, hivi vitu vipi kwenye soka.

Kwa kwakutulia angalia plan ya Nabi second half inakuwaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…