Simba Ni Simba Tu Sasa Kama Wanaona Nyau WatajuaLeo Wachezaji wa yanga wamekua wazito nadhani ni overconfidence
Acha tu yaani [emoji23]Hizi goal kick zinavyotangazwa na radio nyiee zinaturusha balaa
Unawazungumzia Yanga au ?
Yani hawa mpaka sasa ilitakiwa wawe nyuma kwa goal 4.Tumewakosa latatu hawa vitoga
Leo Wachezaji wa yanga wamekua wazito nadhani ni overconfidence
Hayo magoli mawili ni mazito sanaLeo Wachezaji wa yanga wamekua wazito nadhani ni overconfidence
Hakika, Rasmi Yanga wameingia kwenye mfumoLeo Mtoto hatumwi dukani[emoji1]
Wewe umeanza ushabiki juzi tu huna ulijuwalo.Wasiwasi wa nini? Siku zite Simba Sc huwa inashinda pale tu inapokutana na team ndogo[emoji1].
Leo tano tunawakandaTumewakosa latatu hawa vitoga
kenge hawa wanapita na mikekaNa huko EPL dakika ya 82'
West Ham 2-2 Arsenal