Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Jitahidi kuifunga Azzam tukutane fainali, kuimba kupokezanaI wish game zilizobaki tucheze na yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitahidi kuifunga Azzam tukutane fainali, kuimba kupokezanaI wish game zilizobaki tucheze na yanga
Wameanza hawa jamaa.Acheni mambo yenu ya kiswahili, timu INA mechi ngumu Nigeria msianze uchawi wenu kuivuruga timu.
AhahaaahaHahahaaa! Lol
Hatupoi wala hatuboi ukipoteza mechi moja na kudrooo kombe linakuja msimbazi ikukae akilini hiiIla mmepooza sana, mnajua kabisa kombe ni la wenye mpira wao watoto wa town.
AhaahaahaaMimi hata nyumbani siendi leo. Nitaenda kesho namsaidia meneja wa uwanja kufanya usafi uwanjani
ShikamooAhsante sana mtani
Robertinho alimuamini Kibu tangu mwanzo, baada ya kumtengeneza ameanza kupunguza zile papara zake na siku zijazo atakua bonge la mchezaji.
Dah ila huyu Ally Salum ni habari nyingine, Manula ajipange haswa...
Sasa hivi waswahili wote Dawa yao bakora tu.Wameanza hawa jamaa.
Mambop ya kizamani tusirudi tena kwemye mambo ya ovyo.
Kufungwa, kushinda au sare vyote vipo kwenye mchezo wa soka. Tuangalie mechi ijayo hii imepita.
Sijapenda kiukweli... Ila kwakuwa tumepoteza Leo,, nipo nashangilia sare ya Arsenal na West HamAhahaaaha
Mwonyeni yule Kibu,mambo ya kutuulia makipa zetu hatutaki matako yenu
acheni kumlaumu leo haikuwa siku yetuNabi ana matatizo makubwa kwenye ufundishaji wake. System yake ikifeli haina mbadala. Huu uchezaji wa pass nyingi na nyingi zikiwa ni back pass hauna maana, huwa anacheza kama mchezo ni siku nzima. Simba waneizidi Yanga kwenye mambo mawili tu, precision na aggression.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Mtajijua wenyewe kila mtu ashinde mechi zake.Yani mmeshinda mechi lakini hamna furaha
Tofauti ya CAF Champions na confederation ndio imeonekana leo!Hizi derby, underdog ndio huwa anaibuka mshindi. Wik end safi sana kwako [emoji28][emoji28]
Kuna falsafa moja walianza kuja nayo ilikuwa inaniboa kishenziTunakata bikira kwa mara pili,
Kombe la kazi gani? Hela yenyewe kiduchu. Sisi lengo letu kwenye ligi ni kupata nafasi ya kushiriki caf champions league kwenye pesa ya kueleweka!! Uliza pesa ambazo wekundu wa msimbazi watapata kwa kuibgia robo fainali!! Jibu utakalopata litakusaidia kujua kwa nini Simba haina presha na kombe hili la bongo zaidi ya kusaka nafasi ya kushiriki caf champions league ambayo tayari tumeipata!Yanga points 68
Simba points 63
MAKOLO msijisahau kua msimu huu hatapata kombe lolote za hili la Leo [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji172][emoji169]
Wengine wanakaa hapa hapa kwenye kota za uwanja lakini sijui walikuwa wanaharakia nini kuwahi mapema.Wanaenda wapi tena watulie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
AahaahhaahjSijapenda kiukweli... Ila kwakuwa tumepoteza Leo,, nipo nashangilia sare ya Arsenal na West Ham