This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Haya majamaa Ni malaini Sana ukiyakazia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo mchezo ulivyoMnarudi wapi???maiti fc[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama la mbumbumbu liko palepale maana hiyo ni sifa ya watu.Ebu tuite tena yale majina yako tuone how it sounds
Haya majamaa Ni malaini Sana ukiyakazia.
Ila na wale waarabu kazi ipoHii imeisha tayari, tupo kwenye international games.
Ha ha baada ya kipigo ndiyo akili zimerudi?Watu wa mpira tuna matokeo matatu, kushinda, kupoteza mchezo au kutoka sare.
Mimi siyo miongoni mwa vichaa wasiojuwa mpira.
Marahaba mdaka mishaleShikamoo
😅😅😅 Kipofu kaona mwezi leo
Hongereni sana watani 😅😅😅
Relax Dawa yake imeshachemka anaandikiwa dozi tu.Umeni quote kutoka kwenye Convo na mtu mwingine then unaishia kunitusi. Tatizo nini mkuu?
Ningeshindwa kumuelewa. Niliokuwa nachat nao, tulikuwa nomo tu 🤷♂️Relax Dawa yake imeshacheka anaandikiwa dozi tu.
Mkuu huo ubingwa tumebeba mpaka tumechoka,mara 4 consecutively si mchezo.Nipo naangalia Azam TV naona Simba wanakabidhiwa ndoo
.Watu wa mpira tuna matokeo matatu, kushinda, kupoteza mchezo au kutoka sare.
Mimi siyo miongoni mwa vichaa wasiojuwa mpira.
Sawa mkuu,Mkuu huo ubingwa tumebeba mpaka tumechoka,mara 4 consecutively si mchezo.
Tena msimu huu pambaneni mchukue,maana msimu ujao hamna kitu
Mimi,Bantu lady na Carleen na Numbisanapokea namba za mabinti watatu wa yanga niwatumie 25k ya soda kila mmoya kuwapoza