Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawaMimi,Bantu lady na Carleen na Numbisa
Tuletee hapa jangwani[emoji19]
Shikamoo mkuu
😂😂😂😂😂Bundle lenyewe tu anatumia la niwezeshe ndio atowe wapi jeuri ya kurusha 75 saa hizi?
Sasa hapa umetabiri nini? Ungekuwa wewe ni shabiki wa Yanga angalau ingemake sense.Judgement day! The Revenge moment is due!
Mwanamieleka Michael Pereila alipompiga kwa TKO Mwanamieleka bingwa wa muda wote Israel Andesanya shobo na majigambo vilikuwa vingi sana! Andesanya alivumilia yote akakaa kimya akajipanga kwa rematch... Muda ulipofika ulikuwa ni muda wa hukumu! Muda wa kulipa kisasi, muda wa kukata ngebe na...www.jamiiforums.com
Aliyekufunga hakuwepo kwenye kampeni za uchaguzi na wala hukumtegemea.Linaisha vipi? Labda muache hizo tabia badala ya kusajili mchezaji unamleta kwenye uchaguzi hilo jina linaisha vipi?
Pesa za uwanja zilizokuwa zinachangwa kwa simu ziko wapi?
Wahenga wa kizungu husema, raha ipo kwenye mchakato au kikwao in the process. Au nasema uongo Bantu Lady?Hahahaa! Kabisa yaani Mtani.
Japo wenye kulielewa hili tunahesabika. 🤣🤣🤣🤣🤣
HakubahatishaZile 2-0 za Vipers kw Mwananchi kumbe Robertnho Robertinho hatanii ndo kawaida yake ndo mana alikuwa anwataka sana
Mtasema yoteeee[emoji28][emoji28][emoji28] Kipofu kaona mwezi leo