Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
simba leo tunakufa goli2+
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AaaaaaahaaaaView attachment 2589456
Hata kama ni Topolo basi punguza kupayuka
Labda Simba wa Avic townsimba leo tunakufa goli2+
Mods walitakiwa wafute thread zote mbili, utamaduni wa JF thread za mechi zilikuwa zinaanzishwa si zaidi ya masaa mawili kabla ya mechi.Moderator, hamkuwa na sababu ya kuunganisha huu uzi. Kwa nini msingeuacha tu ubakie, ili kila mdau wa michezo achague sehemu yake ya kuchangia.
Huna akili.Wewe jamaa huwa unajiona una akili sana kumbe hamnazo!!
AahhjajajaaaChama Baleke We naaaee sa midislike's yote hii ya nini sasa hii. 😂😂
Uko sahihi.Mods walitakiwa wafute thread zote mbili, utamaduni wa JF thread za mechi zilikuwa zinaanzishwa si zaidi ya masaa mawili kabla ya mechi.
N-cardUtaratibu wa tiketi za kuingia uwanjani ukoje?
Wadau nipeni mwongozo hapa ili nisiikose hii game.
Namshauri ndugu Roving Journalist aanzishe uzi aua aumerge na huuUko sahihi.
Kuna ushindi hapo kweli [emoji23][emoji23]Ustadhi Rama Fc
Huyo mbumbumbu hata abadili jina tena na kujiita Zuwena, kwa lengo la kujificha! Bado tutaendelea tu kumpa za uso.Aaaaaaahaaaa
Naona umeukimbia uzi wako pendwa wa Kibu D kijanja Kwa kubadili Id
Kuna watu wamemilikishwa viwanja humuHuu uzi wako ulistahili kabisa kubaki. Hakuna sababu ya msingi kwa watu wote kulazimishwa kuchangia uzi mmoja.
Mbona kuna mada kibao humu zenye maudhui ya aina moja, na zinaachwa ku trend kwa wakati mmoja? It is unfair.
AhaaahaaahHuyo mbumbumbu hata abadili jina tena na kujiita Zuwena, kwa lengo la kujificha! Bado tutaendelea tu kumpa za uso.
Naona na Mtani Greatest Of All Time naye ameanza kumwaga za kwake. Dooh 😂😂😂😂Aahhjajajaaa
Nikajua ni kwangu tu
Hahahaa! Wameanza mapema kuweweseka. 🤣🤣🤣Namshauri ndugu Roving Journalist aanzishe uzi aua aumerge na huu
Ila all In all hata ukibaki hakuna ubaya
Greatest Of All Time mkuuu hayo madislike yote ya nini mkuuu
Ahaahaahaha
AhaaahahaaNaona na Mtani Greatest Of All Time naye ameanza kumwaga za kwake. 😂😂😂😂
Acha ushirikina skolaKama itakuwa kama nilivyoona basi nawapeni pole wana yanga
Hapa hamna kituWewe ndio hata mpira hujui, Chama kwa Yanga anacheza wapi?
Kocha kama siyo pressure za mbumbumbu hata namba hapati leo.