Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baleke anafunga timu dhaifu.Tatizo mnamuwazia Manula mnasahau kuna Jini linaitwa Balekhe. Kazi yake sio nzuri upande wa pili. Anyway, muda unakaribia
Ewaaa hizi ndio akili za Uto sasa,daahModerator, hamkuwa na sababu ya kuunganisha huu uzi. Kwa nini msingeuacha tu ubakie, ili kila mdau wa michezo achague sehemu yake ya kuchangia.
Mechi na Raja Casablanca mmelinda uwanja kabisa lakini matokeo yanajurikana kilichotokea.Kwa hiyo leo hamtapitia ule mlango wenu wa siku zote?
AahahhaaaaWanajitekenya na kucheka wenyewe
View attachment 2589560
Kama hawa wapo wengi sana View attachment 2589561
Kila la kheri Young Africans.. Ushindi ni lazima[emoji617][emoji617]
Akipata hata short on target moja nidai pesa au bando.Tatizo mnamuwazia Manula mnasahau kuna Jini linaitwa Balekhe. Kazi yake sio nzuri upande wa pili. Anyway, muda unakaribia
Sio kila siku ijumaaKuna mshkaji mechi iliyopita aliweka matokeo hapa akasema watu wa beti kuwa Yanga 2: 1Simba watu wakadharau.
Natafuta Id ya yule jamaa na ubashiri wake ktk hii gemu
Sio kazi yangu hioKwa hiyo leo hamtapitia ule mlango wenu wa siku zote?
Kumbe na Evelyn Salt naye mwananchi?Point 8 kama 8 yani....💛💚
Una hela au unabwabwaja tuAkipata hata short on target moja nidai pesa au bando.
"Yanajurikana"Mechi na Raja Casablanca immelinda uwanja kabisa lakini matokeo yanajurikana kilichotokea.
Mungu ana mambo mengi ya kufanya dadaaLeo ndiyo ile siku Wakuu....
Mungu Ibariki Simba...
Hela yenyewe anaitekegemea kwenye mkeka ambao kamuua Yanga.Una hela au unabwabwaja tu
Mlikua mnalinda nini"Yanajurikana"
Hizi PhD hizi ni zakuwa nazo makini sana
BTW Tulipita kwenye mlango rasmi, ishu ya kulinda uwanja haikuhusisha ulinzi kwenye maswala ya kishirikina
Watu wasiingie uwanjani kabla ya mudaMlikua mnalinda nini