Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,258
- 10,014
Leo ndio utajua haukujua Yanga Utopolo ni dhaifuBaleke anafunga timu dhaifu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo ndio utajua haukujua Yanga Utopolo ni dhaifuBaleke anafunga timu dhaifu.
Haponi huyo mpaka Yanga ipite. Salim ndiye kiboko yenu ngoja akae langoni leo aoshe jinaIla apone bana ili baadae wampange. 😂
Klabu yenu haikutaka afungiwe na ilimtetea.Haji Manara amewaharibu akili mashabiki wenginwa simba. Tunamshukuru Walace Karia kwa kumfungia huyu mtu kwenye klabu yetu.
Maana kuna uwezekano mkubwa kama angeendelea kuhudumu kwenye klabu yetu, baadhi ya mashabiki wa Yanga nao wangekuwa kama nyinyi. Yaani akisema tu kitu, hata kama ni pumba! Basi mnakichukua kama kilivyo, na kukileta humu jukwaani, kuja kumtukuza.
Umekodiwa nini?mimi ni utopolo mkereketwa ila leo tunapigwa mkono
DaimaMbele #NyumaKunaMwiko
Univesite ofu Kasheku babu Tale tauni!!"Yanajurikana"
Hizi PhD hizi ni zakuwa nazo makini sana
Utopolo wanajikausha kama vile leo hatacheza!!Kuna watu wanamsikiaga tu, watajuta kumtambua Baleke!! Atapiga hat trick!!!
Amka wewe acha kuota kumeshakucha kitambo!!Mizimu imesema leo Mayele anapiga
hat trick, Mzize anatupia 1 na Djuma 1. Nawashauri Kolo fc waweke mpira kwapani kuepuka aibu.
Simba akishinda au akitoa drawa mimi nakunywa flagyl na K-vantAmka wewe acha kuota kumeshakucha kitambo!!
Na hujashusha utabiri wako mwez mzimaaHii mvua kubwa hivi kuna match itachezeka huko taifa kweli??
Jitoe kwanza kwenye hicho kinyago cha Tony Cipriano ili tukujue kiuhalisia hata mwisho wa mchezo tukulete Metronidazole zako na hiyo K- Vant.Simba akishinda au akitoa drawa mimi nakunywa flagyl na K-vant
SIMBA 3:0Naitakia Ushindi wa kishindo timu yangu ya Wananchi[emoji617]
Ccm oyeee khe sorry Yanga Oyeeeeeeeeee[emoji172][emoji169]