Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Imeisha hiyooooooooooSIMBA 3:0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeisha hiyooooooooooSIMBA 3:0
Naye atafungwa vile vile Mtani. 😀Haponi huyo mpaka Yanga ipite. Salim ndiye kiboko yenu ngoja akae langoni leo aoshe jina
Mida ya saa nane mchana nimepishana na Yutong inarudi kinyumenyume maeneo ya kwa Msuguri hapa si ndio wazee wa kinyumenyume maana Wamekamia mechi.
Simba akishinda au akitoa drawa mimi nakunywa flagyl na K-vant
Imeisha hiyooooooooooView attachment 2589883
**********
************************
Familia ya Bwana na Bibi TFF inayo furaha kubwa kukualika/kuwaalika Bwn/ Bibi/ Prof/ Mch/ Mh/Dr/Bwn&Bibi................................. Kwenye harusi ya kijana wao mpendwa YOUNG AFRICAN Anaetarajia kufunga ndoa na binti mrembo SIMBA (ZUWENA).
Harusi itafanyika siku ya Jumapili tarehe 16/04/2023 katika uwanja wa BENJAMIN MKAPA Jumapili Ndo Hiyo leo kitawaka kuanzia saa 11:00 jioni hivyo ukiwa kama ndugu na jamaa unaombwa kufika bila kukosa ukipata mwaliko huu mjulishe na mwenzio
**********
************************
Daaah kweli tumefikia hapa?View attachment 2589894
Hawa ni utopolo??
Watasema kuwa walikuwa wanaigiza!!Daaah kweli tumefikia hapa?
Au wanajipaka mapouda [emoji23]Watasema kuwa walikuwa wanaigiza!!
watakuwa wanamsaka aliyevujisha hii Clip!!Au wanajipaka mapouda [emoji23]
Kwa mauchawi yale, nyie shindeni tu!!Full time Simba 0 YANGA 3.