Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
au Malope kakata umeme kwenye minara ya azam,itakua ndo ivyo!.Malope fala sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mvua angalia juuAzam tv wanazingua sana
Acha tutambe😍😍🤣🤣🤣🤣❤️
Tokea tufunzwe editing tunasumbua
Na kuvaa jezi zao nyeusi lakini wapiii [emoji1787]
Mvua inaonyesha angalia video
Aha ha ha haaa tupo wengi wa 'no signal'Nilizani ni kwangu tu....
Ni hali ya hewa nadhani...
😂😂😂Sis 🤣🤣🤣🤣🤍
Toka huku kampe mgonjwa matunda
Wamekata matangazoUkweli upoje hapa?View attachment 2589736
Katika mechi ambayo sina wasiwasi nayo ni hii, mvua huwa inaharibu Burudani ya mpira.Tulipojaribu kuzungumzia swala la hali ya hewa, sio wewe uliyesema wana Simba Sc tusilete vizingizio vya mvua?
Inakuwaje sasa dakika ya 11 tu umeshaanza kuingia kwenye mfumo? TULIA.
[emoji1787]Dawa ya mganga imelowa maji haifanyi kazi...
Kumbe kote kote siyoMvua zimekata network
Historia ya 1983 April 16 inaweza kujirudia hapa leo
Haha! Kwamba vinaweza kujirudiaKuna mwaka kuna timu iligoma kurudi kipindi cha pili
Ni kote aiseeAzam imegoma kwangu tuu au kote