FT: Simba 2-0 Yanga | NBC PL | Benjamin Mkapa Stadium | 16.04.2023

FT: Simba 2-0 Yanga | NBC PL | Benjamin Mkapa Stadium | 16.04.2023

Mke wangu nenda kachepuke tu siyo kwa raha hzo za simba [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
[emoji28][emoji28][emoji15][emoji15][emoji38]
 
First hafu tumeshtukizwa,tukawa tunaweweseka ngoja tuone sekandi hafu.......tukipata goli kabla ya dk 60 game itakuwa ngumu zaidi ikivuka 65 .....Mikia watakuwa na nafasi ya kushinda
Tumewalala viwili tuu,maiti fc
 
Yanga kuna weakness mahala, haiwezekani, kuna hujuma ndani kwa ndani, kikao cha dharura haraka sana, hujuma zote ziangaliwe, kama kuna mchezaji au wachezaji wamehongwa au referee au hujuma yoyote lazima uongozi iangalie upya haraka
 
Wamelowaaa wamelowaaa na mvua wamelooowa wamelooowa wamelooo wa
FB_IMG_1679368540461.jpg
 
Huyu kocha aliingia kaidharau simba .sasa yamemkuta hawa walikuwa wafe mapema
Nabi ana matatizo makubwa kwenye ufundishaji wake. System yake ikifeli haina mbadala. Huu uchezaji wa pass nyingi na nyingi zikiwa ni back pass hauna maana, huwa anacheza kama mchezo ni siku nzima. Simba waneizidi Yanga kwenye mambo mawili tu, precision na aggression.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom