Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo tegeta kwa muda utarudi siku inginesiku kama ya leo ndo huwa najuta kwanini sikai mpwapwa .. mjini Simba akishinda kelele sana
Asante
tatizo ndugu zetu nyinyi kushangilia taratibu hamuwezi
yani hapa natamani ningekua niko hata kibiti mana imekua nomaNjoo tegeta kwa muda utarudi siku ingine
Hata walivyofungwa na Ihefu waliamini ilisababishwa na jezi ya njanoHuo ujinga wa kushadadia rangi nyeusi ya jersey ni ushamba wa kiwango cha aina yake...
halafu hatunaga kelele kabisaa. Utakuta kimyaa hamna manenoYaani Simba wakishinda Makele mengi sana kama hawaamini ila Yanga wangeshinda kungekuwa kimya maana wameshazoea ushindi.
Nabi ni kocha mzuri akicheza na Kagera
Safiiii
Hii ya leo inachekesha sana kuliko ya Manula
Diarra kabinuka utadhani Shoga anafanya invitation to treaty,kibu hatari
Hapo alipokuwa anakamuliwa mavi.Diarra kabinuka utadhani Shoga anafanya invitation to treaty,kibu hatari
Wachambuzi uchwara haoKuna mchambuzi mmoja anasema Simba huwa anazifungaga timu mbovu leo nimeamini, nasemajeeeeeee kuanzia sasa nawakubali wachambuzi wetu
Nilitegemea picha kama hii. Sooner or later🤣🤣🤣