cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Wee mapaziaaa hebuu tuliaa huko.Great great wananchi.[emoji520][emoji1374]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee mapaziaaa hebuu tuliaa huko.Great great wananchi.[emoji520][emoji1374]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo shemej yenu kanitumia message et atatoa yote [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2590043
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo wee unaongea hivii?? MakubwaaaaaahWewe umeanza ushabiki juzi tu huna ulijuwalo.
Timu bora inaweza kupata matokeo Mabaya kwenye mechi, hata mchezaji mzuri anaweza asiwe na siku nzuri kwenye mechi, hivi vitu vipi kwenye soka.
Kwa kwakutulia angalia plan ya Nabi second half inakuwaje.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acheni kunisumbua nyie makolo, niko kusaidia kutoa maji Makao Makuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 2590050
Bila internet bundle?Ukiwa na Azam max, unaangalia mechi Bure. As long as unaking'amuzi Cha Azam kilicholipiwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo mtasemaa yoteeee.Goli la kwanza limetutoa mchezoni hata structure ya shape kuanzia defence mpaka middle zimevuruguka na ndio maana goli la pili kaunta,hata nafasi alizo kosa Beleke zote ni kaunta. Simba alistahili kuongoza kwa nne bila first half ila ndio hivyo naona leo Beleke hana zali.
Ngoja tuone kipindi cha pili, ila Yanga wanahitaji kutulia tu na si vinginevyo na kustay in shape kwa ajili ya kuzuia kaunta.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani mie sitakiiiiiiiiWallah tena! Wananchi leo tumepatikana. Hali tete.
Yaani asipoingia Ibrahim Bacca, na viungo wanyumbulifu pale kati; leo tutapigwa nyingi!
Nishasahau mpira wenu nipo US nawatizama Playoffs Lakers vs Mephis.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo mtasemaa yoteeee.
Tena mmalizee ya moyoni, muwe na amani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga wameloa wameloa in harmonize voice
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliiii.Kesho najiona nikisikiliza vipindi vyote vya michezo kila Redio.[emoji1]
Madogo yana nafuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo wee unaongea hivii?? Makubwaaaaaah
Simba na man city zinanipaaa burudaaniii mie.Kwingineko duniani:
Arsenal wameanza kukata moto kwenye safari ya ubingwa, Mancity wanafukuza mwizi kimyakimya.
Hao Ihefu waliwabonda, useme Ruvu shootingDah! Leo naona watu wamekataa kununuliwa!! Siyo kwa kutukazia huku. Wachezaji wetu leo wanacheza kama Ihefu Fc.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]BIla shaka huo uzi ndo umesababisha ajiite Chama Baleke. [emoji23][emoji23]
Wataweweseka leo.Viwili paaap. Mbinuko hoyeee.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] letaa manenoooo, letaaa manenooooo, yaan wee na badooooo utaliaa sanaaa.
Hebu sema tena, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tunarudi kwa kishindo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah! Wananchi tumeloa ndembendembe! Ngoja tusubiri haya mabadiliko kama yataleta tija. Ila kipindi cha kwanza viungo wa kati wamecheza nyoronyoro sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila nimekuja gundua wanaume huwa hampendi kelele za wanawake, (ukiacha zile nyingine)[emoji2960]
Kuna mama yupo nyuma yangu hapa ana makelele machine ikasome, wana wanageuka wanamtazama kwa mshangao kisha wanarudi zao mbele..!![emoji23]