Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe nawe ni mzee wa kuwakera[emoji28][emoji28]Wakati natoka uwanjani nimepishana na viongozi wa Uto wanabishana kama wamlipe mganga au lah...
Ni swala la muda tuHata tukifungwa bado tunaendelea kuongoza ligi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]poleeeeeh sanaaaaYanga wamecheza vizuri hasa kulingana na Hali ya uwanja, Magoli waliyofungwa ni Magoli ya nje ya uwanja, goli la kwanza haikua Kona na mshika kibendera alikua mita mmoja kutoka ulipo mpira.
Goli la pili Yanga wapigiana pass mbovu na Kupoteza mpira bila Sababu.
Zaidi ya yote hawakucheza vibaya ila matokeo Mabaya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilikutahadhalisha lakini mapema swala la kupenda timu mbovu linavyoweza kuja kuku cost siku za mbeleni
Ona sasa umeanza ku-suffer paranoia
Poleni muhengaDuuh!
Jamaa ulitutia gundu wananchi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilichobaini ni kuwa sio wachezaji tu
Mpaka mashabiki nao wana mikimbio na ndio maana humu hawapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo staili ya Diarra inaitwa mbinuko kwa hisani ya Kibu D.
Mie ndo nimevurugwaaa kabisaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Daaah Simba hii leo imetufanya tutambee tunatembea vifua vimejaaa.. [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukimaliza utarudi huku tyuuh, haiepukiki hii.Nishasahau mpira wenu nipo US nawatizama Playoffs Lakers vs Mephis.
Haswaaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Madogo yana nafuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wataweweseka leo.Viwili paaap. Mbinuko hoyeee.
Well saidNilichokuwa nakitaka ndio hiki kimetokea leo.
Ishu haikuwa sio tu kumfunga Yanga
Bali ni kumfunga Yanga akiwa full compact plus na vile virutubisho vyake vya jezi nyeusi kuihusisha na bahati.
Mwaka jana niliposikia taarifa kuwa Mayele anataka kuuzwa mpaka Senzo kutishia kuondoka endapo atauzwa, nilikuwa mtu niliye tofautiana mtizamo na baadhi ya mashabiki wenzangu wa Simba.
Mimi sikutaka hilo litokee, hiyo yote ilikuwa kwa ajili ya siku kama ya leo.
Tungewafunga wakiwa wamepungukiwa na wale wachezaji wao nyota ningefurahi kama ushindi kumfunga mtani ila vibe lingekuwa too low.
Kwasababu kile kipindi tuwafunge bao 4-1 ni ukweli usiopingika kuwa hawakuwa na kikosi bora. That's why unaona hata wao utetezi wao ulikuwa "tulikuwa tuna kikosi kibovu"
Leo kila waliyetaka kumuona uwanjani, alikuwepo.
Kuanzia benchi la ufundi mpaka wachezaji wote leo walikuwepo, hakukuwa na majeruhi, hakukuwa na wachezaji waliokosa mechi sababu ya kadi za njano.
Leo labda watafute lawama kwa kumkosa Feisali. (Kitu ambacho nitawaona vigeugeu kwasababu wao ndio waliosema no Feisali no problem)
Mwisho nasema mjifunze kuiheshimu Simba, muache ushamba wa kuamini rangi ya jezi kuwa ndio yenye bahati.
Mechi yenu inayofata aanzeni upya hesabu zenu, kuanzia ule ukiritimba wa kufurahia kila mechi kufunga goli hadi unbeaten
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio kweli hebuu nipangie kikosi cha ManCity kwanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HallahYes kabisa
#NguvuMoja
Kabisaaaaaa yaan leo watoto wa mama wakwe, washindwee wao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo ndio siku ya kutowa yote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uto kesho wanaenda mahakamani kuishitaki Simba kwa kucheza Wachezaji wapya leo. Ally Salim, Erasto Nyoni na Nassor Kapama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah makolo yametufunga bwana ndio naamshwa kula Nimekubali Sasa nlipata denial moja kali Sana
Na nili bet na swalehe wakishinda Kesho na keshokutwa haendi shule naenda mimi kwa niaba ntafte uniform. Sasa aibu hii