ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,362
- 2,991
Eeeeh hizi 1,2,3,4.....hizi za kuhesabia chekechekeaZanzibar hapafai. Kuna mtu kapigwa 9
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeeh hizi 1,2,3,4.....hizi za kuhesabia chekechekeaZanzibar hapafai. Kuna mtu kapigwa 9
Timu zilizotolewa nusu fainali Mapinduzi Cup zimefugwa jumla ya magoli 11.Kweli sisi yanga tuna watu ila katika hao watu tulionao wote ni wajinga
lakini pia wameandika record mpya ambayo walikuwa wana nyanyaswa sana na watani waoTimu zilizotolewa nusu fainali Mapinduzi Cup zimefugwa jumla ya magoli 11.
Namungo 2 yaani 1, 2.
Yanga 9 yaani 1, 2, 3, 4, 5, 6, 7, 8, 9.
Hapa kwa Uto mtoto wa chekechea anaweza jifunza kuhesabu kabisa.
Shukran za dhati ziende kwa Scars Nyamizi Dam55 XII Tz Ekuweme Dabil ESPRESSO COFFEE lwambof07 kinje ketile park don Nyonzo bin mvule.
Pia bila kuwasahau bhagosha waukweli ngosha wa mwanza Bill ChamasonMorisonBwalyason Utopologist Mshana Jr tuko pamoja.
wadau wengine wote wakali wa apdates OKW BOBAN SUNZU Ghazwat .
Tukutane tena kwenye muendelezo wa ushindi pale Simba ilipoishia.
Simba nguvu moja.
Hata mimi sina jibu. Nahisi Gharib anajua kwanini.Tumewezaje kuongoza ligi kwa uchezaji huu?
Wanayanga wenzangu, na nyie mnajiuliza swali hilo kama mimi?
lakini pia wameandika record mpya ambayo walikuwa wana nyanyaswa sana na watani wao
Kupitia haya mashindano yanga imemkata mdomo simba kuhusu zile kelele za kufuzu hatua ya makundi ambayo simba wamekuwa wakilingia
Kosa kubwa sana kukusahau mkuu.Umenisahau..najikumbusha
Gharib na mpira wapi na wapi ndugu?Hata mimi sina jibu. Nahisi Gharib anajua kwanini.
Hebu fikiria ile timu ya akina Mavunde tulijigeuza Barca.
Nimejaribu kuwafata kwenye special thread yao sijakuta mtuWana hasira hao ngoja waje hapa,ndugu yangu [mention]Insigne [/mention] uko wapi?
Unamlaumu nahimana kweli...!!!???Namungo hawakupaswa kumpanga Nahimana. Huyu ni golikipa anayecheza kinazi Sana dhidi ya Simba tangu zamani.
Goli zote mbili kafungwa kizembe:
Aliondoka KMC Kwa kuifungisha timu kizembe kila KMC ilipocheza na Simba, Kama hiyo haitoshi Nahimana alinukuliwa katika kipindi cha Sports Arena akisema anapenda Simba. Kauli iliyomuondoa KMC .
Namnukuu mwenyekit wa KMC
Kheri ambaye pia ni diwani wa Bunju alisema kuwa kwa mchezaji wa aina yake na nafasi anayocheza na umuhimu wake kwenye timu, Nahimana hakupaswa kuonyesha mapenzi kwa timu ya Simba wakati bado ana mkataba na timu yake.