Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Shinda 8 sasaLeo lazima tukae juu mtuambie kabisa zinatakiwa goli ngapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shinda 8 sasaLeo lazima tukae juu mtuambie kabisa zinatakiwa goli ngapi
Ila hui ugomvi wa ndugu,ni ngumu sana kuingiliaLeo saa 10:00 jioni Simba SC itakuwa kibaruani kucheza dhidi ya Coastal Union katika dimba la Uhuru Dar es Salaam.
Ni mchezo wa raundi ya tatu ya NBC Premier League ambapo kila timu inahitaji alama tatu ili kujiweka katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa ligi.
---
7' Goal Jean Baleke Simba 1 - 0
12' Goal Jean Baleke 2 - 0
40' Goal Jean Baleke anafunga kwa njia ya penati, Simba inaongoza 3 - 0
Hawaridhishwi na idadi ya mabaoNipo hapa shamba la Bibi Ila Mikia japo mnaongoza ila bado malalamiko ni mengi sana toka Kwa mashabiki
kwel ila mbona hizi huwa kwa mechi ya simba tu, wengine wakichezewa na watu wa simba hazitokiWakifanya faulo za kustahili red card haiwezi kuwa excuse refa awaachie eti kwakua wana red card moja
Ndiyo kibanda umiza cha hapo jangwani mnakiitaa shamba la bibi?Nipo hapa shamba la Bibi Ila Mikia japo mnaongoza ila bado malalamiko ni mengi sana toka Kwa mashabiki
Ile ni penati halali, lakini anachonoahangaza Mzamiru amefanya foul 6 lakini Hana hata onyo la mdomo. Matokeo yake kaonyeshwa Malone na faulo 1 isiyo na madhara.Arajiga sio refa
Mpe wewe mkuuHuyu refa ni Msengerema, Mzamiru faulo ya nne hajapewa kadi yoyote
😀😀😀Kama ni mwendaji wa viwanjani,hiki ulichokisema ni Futuh ndiyo ni FutuhHawaridhishwi na idadi ya mabao
bado tatuLeo lazima tukae juu mtuambie kabisa zinatakiwa goli ngapi
Makolokolo watakukatalia [emoji16]Huyu refa ni Msengerema, Mzamiru faulo ya nne hajapewa kadi yoyote
Bado ngapi nadaiwa?Shinda 8 sasa
[emoji28][emoji119]kwamba timu imecheza vizuri, sema refa ndo kacheza kama pele
NakaziaTZ PL huharibiwa na Makolokolo kubebwa kwa red cards toka timu pinzani kisha hupiga goli nyingi wakipumbazwa kuwa wana timu bora kumbe ni ukolokwinyo mtupu.
Imagine na hapo Costal Union ni tawi lao Mbumbumbu [emoji848][emoji23]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Chapisha kadi umpelekeeHuyu refa ni Msengerema, Mzamiru faulo ya nne hajapewa kadi yoyote
5Bado ngapi nadaiwa?
Kwasababu hajabenwa na machela kama Enonga?
pAmoja na utopolo mkiwepo uwanjani?Shinda 8 sasa
Mi siyo mshamba kama wewe,hata angekuwa anacheza KMC vs JKT leo ningekuja kuangalia......sichagui mechi ya kuangalia kama mlivyowengi mnaangalia timu yenu inapocheza tu tena kwenye tiviNdiyo kibanda umiza cha hapo jangwani mnakiitaa shamba la bibi?