Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamemkunja leo dunia anaiona njungu leoame galagala balaa nimefurah sana anajifanyaga muhuni sana
Sasa si ukalale tu? Ukiamka utapewa matokeo, ila ukipitiliza itakuwa bora zaidimechi haina mzuka ni papatu papatu
Ulichelewa sanaaaMm ni YANGA damu ila nahamia simba
KabisaHawa ni ndugu, Simba wanachukuaga point kilaini na magoli mengi tu
Utakuwa unaangalia marudio ya mechi yenu janamechi haina mzuka ni papatu papatu
Sisi yanga hatuna mashabiki wa hovyoUlichelewa sanaaa
Mzuka kwani unacheza wewe?mechi haina mzuka ni papatu papatu
kwamba timu imecheza vizuri, sema refa ndo kacheza kama peleSasa kama wakicheza vizuri malalamiko ya nini tena? Hivi nyie uto mnafikiria kwa kutumia ubungo kama sisi Kweli?
anacheza ARAJIGAMzuka kwani unacheza wewe?
Hii futuhi ya leo nzuri sanaHuyu Baleke si tukajua amefunga zipu
Sa mbona anachana pakti nyingine?
Ndugu wengine hawa hapa:Hawa ni ndugu, Simba wanachukuaga point kilaini na magoli mengi tu
Wakifanya faulo za kustahili red card haiwezi kuwa excuse refa awaachie eti kwakua wana red card mojalabda zipatikane red 3
TZ PL huharibiwa na Makolokolo kubebwa kwa red cards toka timu pinzani kisha hupiga goli nyingi wakipumbazwa kuwa wana timu bora kumbe ni ukolokwinyo mtupu.mechi ya nyau bila penati ama red card haiwez tokea
Unafiki ni mwingi sanaSimba! Hizi Raha mnazonipa Sasa nimezikinai