Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kakutana na muhuni mwenzie kamkandaAnavyochezeaga wenzake hovyo mnamsifiaga,sasa leo kakutana na wahuni wenzake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kakutana na muhuni mwenzie kamkandaAnavyochezeaga wenzake hovyo mnamsifiaga,sasa leo kakutana na wahuni wenzake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile ya Jana ni ubovu wa refa tu ilikuwa Kadi nyekundu. Sijawahi kumwelewa Mwandembwa ana makosa mengi Sana kwenye uamzi.
Kakutana na muhuni mwenzieAnavyochezeaga wenzake hovyo mnamsifiaga,sasa leo kakutana na wahuni wenzake.
Sent using Jamii Forums mobile app
NakaziaMalipo ni hapa hapa Duniani,unakumbua jinsi alivyotaka kuumia Sureboy?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo fani yenu hii mliyojaliwa. Halafu unayemtukana mwenyewe usikute ndiyo baba yako wa kambo.Una mawazo ya kisenge kweli aisee,huwa unawaza nini sijui kama binti vile
Nakazia yule ni refa wa hovyoIle ya Jana ni ubovu wa refa tu ilikuwa Kadi nyekundu. Sijawahi kumwelewa Mwandembwa ana makosa mengi Sana kwenye uamzi.
Bahati mbaya mpira wa miguu kuna watu wanasifiwa kwa uhuniKakutana na muhuni mwenzie kamkanda
Ile ni faulo ya wazi mlitaka abalansi?
Bado una dua inayoweza kusikilizwamechi ya nyau bila penati ama red card haiwez tokea
ame galagala balaa nimefurah sana anajifanyaga muhuni sanaKakutana na muhuni mwenzie kamkanda